Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

صوت


واجهه المستخدم


مستوى الصعوبة


لهجة



لغة الواجهة

ar

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
التسجيل / تسجيل الدخول
Lyrkit

يتبرع

5$

Lyrkit

يتبرع

10$

Lyrkit

يتبرع

20$

Lyrkit

و/أو ادعمني في مواقع التواصل الاجتماعي. الشبكات:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Rayvanny

Nateswa

 

Nateswa

(الألبوم: Unplugged Session - 2022)


Hivi nachezea rhumba ama bolingo nangai
Maana nina kiwembe kwenye vita ya masai
Wanitesa mchumba nimependa sishangai
Penzi kitovu uzembe mi nalia we furahi
Ila musiende nyumbani za wageni walete nyumbani kwangu
Chunga taratibu na chaga msije vunja kitanda changu
Nimekunulia na feni msisweti mke wangu
Kama majasho mkimwaga litumie taulo langu

Naaa Baya lako zuri kwangu yote nimekusamehe
Kosa la kwako lawama kwangu acha tu nijitetee
Furaha yako furaha yangu sipendi unyong'onyee
Ukimpenda rafiki yangu sema nikutongezee
Utamu wa pipi ni mate yangu
Wapika na mimi wanakula wenzangu
Ona nakosa siti kwenye gari langu
Kuleni embe acheni kokwa langu

Nateswa nateswa
Mwenzenu nateswa na mapenzi
Jamani nateswa nateswa
Mwenzenu nateswa na mapenzi

Mapenzi anapanga maanani sitaki kuruka kuruka
Sawa ni pande kichwani ukichota itashuka
Niite mfanyakazi wa ndani huna haja kusumbuka
Kwani anakuja muda gani niwatandikie shuka
Siogopi kushare ila usisahau kinga
Japo kwangu fedheha kuku wa chando nashinda
Kweli wanionea nakubali we ndo bingwa
Nipo radhi kulea kama wakikupa mimba

Naaa Baya lako zuri kwangu yote nimekusamehe
Kosa la kwako lawama kwangu acha tu nijitetee
Furaha yako furaha yangu sipendi unyong'onyee
Ukimpenda rafiki yangu sema nikutongezee
Utamu wa pipi ni mate yangu
Wapika na mimi wanakula wenzangu
Ona nakosa siti kwenye gari langu
Kuleni embe acheni kokwa langu

Nateswa nateswa
Mwenzenu nateswa na mapenzi
Jamani nateswa nateswa
Mwenzenu nateswa na mapenzi

منتهي

هل قمت بإضافة كل الكلمات غير المألوفة من هذه الأغنية؟