Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

صوت


واجهه المستخدم


مستوى الصعوبة


لهجة



لغة الواجهة

ar

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
التسجيل / تسجيل الدخول
Lyrkit

يتبرع

5$

Lyrkit

يتبرع

10$

Lyrkit

يتبرع

20$

Lyrkit

و/أو ادعمني في مواقع التواصل الاجتماعي. الشبكات:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Gongo La Mboto

 

Gongo La Mboto


Poleni wale usiku hatujalala
Wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
Mpaka sasa hawana pakulala
Watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
Poleni sana ndugu zangu
Poleni wale usiku hatujalala
Wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
(Gongo la Mboto)
Mpaka sasa hawana pakulala
Watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
Poleni sana ndugu zangu

Eh! Mola ona wanao tunakwenda
Eh! Tunakwenda tunakwenda
Tunakwenda tunakwenda
Kila siku matatizo abba tushike mikono
Walosema idadi ya watu kadhaa
Eti wengine maje raha
Ona wegine wamejifungua
Masikini moja bado
Shida za maisha si usiku si mchana
Na majanga yanazidi twandama
Huku majukumu yame
Tanzania oh mama aaah!
Kuhusu maidha si usinu si mchana
Na majanga yanzidi twandama
Huku majukumu yame
Tanzania oh mama eyeee!

Poleni wale usiku hatujalala
(Hatujalala)
Wale mabomu yamewapa madhara
(Mmh madhara)
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
(Eh! Gongo la Mboto)
Mpaka sasa hawana pakulala
(Oh pakulala)
Watoto bado njaa hawajala
(Hawajala)
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
(Nyingi sala)
Poleni sana ndugu sana

Enyi waTanzania wazalendo wa nchii hii
Akuambiaye usikombe mboga siku zote anataka ushibe
Nani anasema usiku mmoja hauozeshi nyama
Huyo tumegeukie na kumtazame mara mbili maana ametudanganya
Pole nchi yangu, pole Tanzania, poleni sana Gongo La Mboto
Ingekua hadithi ningesema 'paukwa', nikaanza kuwaongopea
Ningekua mwana siasa ningesimama jukwaani nakuwaambia nichagueni mimi
Lakini hizi ni roho za watu haya ni maisha
Poleni sana Gongo La Mboto ndugu zangu waTanzania
Apasuaye nguo lazima awe fundi wa kushona
Kilichotokea Mbagala siku ile, watu walizani cinema kule mikoani
Lakini kule Gongo La Mboto
Hakuna aliyekumbuka viatu wala kumshika mwanae
Hakuna aliyekumbuka mume wala kumbusu mkewe
Najua Tanzania tunavuma kwa ukarimu na upole japokua ni masikini
Lakini uisikia 'puumuuu' ujue kimeshatokew Gongo La Mboto
Tudhihirishe ukarimu wetu na kuitolea Gongo La Mboto
Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki Gongo La Mboto (ibariki)

Eyeeee!
Poleni wale usiku hatujalala
(Hatujalala)
Wale mabomu yamewapa madhara
(Madhara)
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
(Ndugu zangu)
Mpaka sasa hawana pakulala
(Pakulala)
Watoto bado njaa hawajala
(Oh hawajala)
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
Poleni sana ndugu zangu

منتهي

هل قمت بإضافة كل الكلمات غير المألوفة من هذه الأغنية؟