Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

صوت


واجهه المستخدم


مستوى الصعوبة


لهجة



لغة الواجهة

ar

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
التسجيل / تسجيل الدخول
Lyrkit

يتبرع

5$

Lyrkit

يتبرع

10$

Lyrkit

يتبرع

20$

Lyrkit

و/أو ادعمني في مواقع التواصل الاجتماعي. الشبكات:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Niache

 

Niache


Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane

Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

Niache
Niache
Niache, oh niache
Niache
Nipambane na moyo wangu
Niache (niaaa...)
Niache (moyo wangu una hasira)
Niache, oh niache
Niache

Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani

Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

Niache, oh niachee
Niache (mimi moyo wangu una hasira)
Niache (tena ukae mbali)
Niache (oooh niachee)
Niache (usiwapigie rafiki zangu)
Niache (usithubutu hata simu yangu)
Niache (chonde tafadhali)
Niache (niaaa...)

(Iyoo lizer)
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudangany kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia

منتهي

هل قمت بإضافة كل الكلمات غير المألوفة من هذه الأغنية؟