Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

صوت


واجهه المستخدم


مستوى الصعوبة


لهجة



لغة الواجهة

ar

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
التسجيل / تسجيل الدخول
Lyrkit

يتبرع

5$

Lyrkit

يتبرع

10$

Lyrkit

يتبرع

20$

Lyrkit

و/أو ادعمني في مواقع التواصل الاجتماعي. الشبكات:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Nitarejea

 

Nitarejea


Vipi mizigo umeshaweka tayari
Sijechelewa nkaachwa na gari
Basi jikaze usilie mpenzi
Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi

Zile taabu na njaa msimu mzima mavuno hakuna
Huwa nakosa raha pale mkikosa cha kutafuna
Roho yangu inauma, sema ntafanya nini na pesa sina
Nakuonea na huruma, bora niende mjini kusaka tumaa

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea

Wanajua kwamba nafsi na roho vitakuwa na wasiwasi
Ukumbuke na moyo utajawa na simanzi
Ntakapokuwa nakwenda shambani afu niko peke yangu honey
Ntapokuja kuwa na majirani ntaumia aaah
Pale napotoka kisimani ama nipo na kuni kichwani
Sina wakunitua nyumbani ntaliaa

Maneno yako yananfanya nakosa raha na mawazo
Hata mwenzako sijawahi kufika dar huu ndo mwanzo
Vile nakwenda na sijui pa kukaaa wala mavazi ooh
We niombee niepushwe na balaa na maradhi ooh

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea

Unapokwenda kama ukifika salama, utukumbuke na sisi
Usisahau kama mkeo na wana, umetuacha na dhiki
Vile usijali ila naomba chunga sana, ogopa na marafiki
Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama, waambie sidanganyiki

Unapokwenda kama ukifika salama, utukumbuke na sisi
Kumbuka mkeo na wana nyumbani, umetuacha na dhiki ooh
Vile usijali ila naomba chunga sana, ogopa na marafiki
Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama, waambie sidanganyiki

Ntarejea mama
Niombee nirude salama
Ohhh watoto wadanganye
Ihh, ohh

Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea

منتهي

هل قمت بإضافة كل الكلمات غير المألوفة من هذه الأغنية؟