Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

صوت


واجهه المستخدم


مستوى الصعوبة


لهجة



لغة الواجهة

ar

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
التسجيل / تسجيل الدخول
Lyrkit

يتبرع

5$

Lyrkit

يتبرع

10$

Lyrkit

يتبرع

20$

Lyrkit

و/أو ادعمني في مواقع التواصل الاجتماعي. الشبكات:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Ntampata Wapi

 

Ntampata Wapi


Sura yake mtaratibu
Mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribuu
Ila namkumbuka sanaa
Umbo lake mahbibu
Kwenye maradhi alionitibu
Siri yangu ukaribuu
Bado namumbuka sanaa

Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling
Akatekwa na walee
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah...

Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana

Aii, aii nyotaa ahh
Nyota ndo tatizo langu
Aii nyota ahh
Hadi nalia pekee yangu
Aii nyota ahh
Nyota ndio shida yangu
Nyota ahh
Wamenizidi wenzangu

Alidanganywa na wale (walee)
Wenye pesa nyumba gaari (gaari)
Mi kapuku hakunijali (jaali)
Akanimbiaa
Alidanganywa na wale (walee)
Wa mapesa nyumba gaari (gaari)
Mi mnyonge hakunijali (jaali)
Akanikimbiaa

Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling
Akatekwa na walee
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah...

Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana

Bado ananijia ndotoni (baado)
Kila nikiamka simwoni (baado)
Bado anjia nikilalaa
Haki ya mungu sio masialaa
Bado ananijia ndotoni (baado)
Kila nikiamka simwoni (baado)
Bado anjia nikilalaa
Haki ya mungu sio masialaa

Yo touch clever (baado)
Hii ni sauti ya raisi
Iliomshindaga ibilisi
Kwa mwanadamu sio rahisi
Kamwambie
Lazima ujue kutofautisha
Kati ya msalaba na jumlisha
Kuna x ya kuzidisha
Ni cheche (cheche...)

Bado ananijia nkilalaa
Haki ya mungu sio masialaa

منتهي

هل قمت بإضافة كل الكلمات غير المألوفة من هذه الأغنية؟