Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

صوت


واجهه المستخدم


مستوى الصعوبة


لهجة



لغة الواجهة

ar

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
التسجيل / تسجيل الدخول
Lyrkit

يتبرع

5$

Lyrkit

يتبرع

10$

Lyrkit

يتبرع

20$

Lyrkit

و/أو ادعمني في مواقع التواصل الاجتماعي. الشبكات:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Chitaki

 

Chitaki


We ndo kitumbua we ndo sambusa
Basi njoo unichumu baby, ndio tuseme umesusa?
We ndio mwisho wa reli, kwako nimeweka nukta
Walokuambia nala zuchu, sio kweli wanazusha
Wanaokaa vikao sisi kutujaji
Wape pole yao wanatwanga maji
Na waongeze bidii kwenye urogaji
Tuko Ten GB penzi full charge
Fanya wainama, wainuka
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainama, wainuka
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta

Mi kuachana na wewe aku chitaki chitaki
Chitaki chitaki chitaki chitaki mi
Kuachana na wewe chitaki chitaki
Chitaki chitaki chitaki chitaki mi

Mchana nikupe tango, usiku ndizi swadakta
Tuanze fanya mambo, kabla umeme hawajakata
Mapenzi mwenzie kiwango, na umejaaliwa talanta
Na unanijua kwa jambo, hatoki mtu kwa mkapa, ee aah!
Amuli chichichi amuli chachachacha
Kamoyo tititi nimeozaje sasa
Amuli chichichi amuli chachachacha
Kamoyo tititi nakuachaje sasa
Wanaokaa vikao sisi kutujaji
Wape pole yao wanatwanga maji
Na waongeze bidii kwenye urogaji
Tuko ten GB penzi full charge
Basi fanya, fanya wainama wainuka
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainama, wainuka
Kiguu kinyanyue kisha weka nukta

Mi kuachana na wewe aku chitaki chitaki
Chitaki chitaki chitaki chitaki mi
Kuachana na wewe chitaki chitaki
Chitaki chitaki chitaki chitaki mi

منتهي

هل قمت بإضافة كل الكلمات غير المألوفة من هذه الأغنية؟