Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

Sound


Interface


Difficulty level


Accent



interface language

en

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Cookie policy   |   Support   |   FAQ
1
register / login
Lyrkit

donate

5$

Lyrkit

donate

10$

Lyrkit

donate

20$

Lyrkit

And/Or support me in social. networks:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Harmonize

Kwa Ngwaru

 

Kwa Ngwaru


Iyoo Lizer

Hmm
I wish ningekuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba
Masanja Joti usiwe mbali nami
Hmm
My darling, I need you love, oh
Uwe nami haki ya Mungu nakupenda
Nobody can show you love, oh
Usiwaamini ukishawapa wanakwenda

Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (iyelewi)
Wakija wapoteze jifanye kama huwaoni (iyelewi)
Kisha uniongeze ulivyofunzwa unyangoni (iyelewi)

Oh, baby
Asa dansi nikuone (kwa ngwaru)
Wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Ololu Femi (kwa ngwaru)
Oh, baby
Asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

Aaagah
Moyo wangu wa muarobaini
Mchungu ukiuziwa
'Samehe mara sabini
Huo uzungu sija jaaliwa
Ungependa juu ama chini
Kwenye uvungu uparemiwa
Nikumbatie baridini
Kwenye tundu kama njiwa
Moyo wangu ni wa makuti
Usinijie na kibiriti (hasa we')
Penzi likageuka chuki
Nyumba ikawa kibiti (hasa we')
Nipatie vya kitandani
Nipe mpaka kwenye kiti (hasa we')
Ili asiniingie shetani
Nawe nikaja kukucheati

Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze
Kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze
Nirudishe utotoni (iyelewi)
Weka mate niteleze
Kama nyoka pangoni (iyelewi)

Oh, baby
Asa dansi kidogo (kwa ngwaru)
Oh, wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Ololu Femi (kwa ngwaru)
Oh, baby
Asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

Aaagah!
'Nataka kucheza chura na ingali umesimama
Aah, inama inama
Asa waonyeshe
Aah, inama inama
Unachezaje
Aah, inama inama
Unataka maji ya kisima na mwoga kuchutama
Aah, inama inama
Ebu waonyeshe
Aah, inama inama
Unachotaje
Aah, inama inama
Unataka kupiga deki wima umesimama
Aah, inama inama
Ebu tuonyeshe
Aah, inama inama
Unapigaje
Aah, inama inama
Si unataka vya pool table sa' mbona unajibana
Aah, inama inama
Ebu tuonyeshe
Aah, inama inama
Unalengaje
Aah, inama inama

Wasafi Record
Oya, wanangu wa kigogo (aah, inama)
Nipe za Mose Iyobo (aah, inama)
Vunja vunja kidogo (aah, inama)
Aah, niongeze mikogo (aah, inama inama)

done

Did you add all the unfamiliar words from this song?