Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar


インターフェース


難易度


アクセント



インターフェース言語

ja

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
登録/ログイン
Lyrkit

寄付する

5$

Lyrkit

寄付する

10$

Lyrkit

寄付する

20$

Lyrkit

そして/またはソーシャルで私をサポートしてください。ネットワーク:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Harmonize

Bakhresa

 

Bakhresa


(Bakhresa)
(Bakhre-Bakhre-Bakhre-Bakhre-Bakhre-Bakhresa)

Yeah
Konde boy call me number one, number one

Bila shaka haujawahi kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia kila unacho kula
Huwezi muona kwa TV ata kwa dharula
Ingawa yeye ndo nwenye king'amuzi
Hana time na mitandao yani kuuza sura
Yupe buzy na mafao pesa mlungula
Angetaka kupita nao wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii
Masikini anawapa mitaji wagawane na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha na wajane au mayatima
Hawezi kujisifia nyumba wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba jalajalali kikubwa uzima
Sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
Uwenda ushapishana nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni yeah

Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa aah
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed

Uuh uuh uuh...

Bakhresa hajawahi kugombea cheo
Au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa
Hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
Tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah aah
Gharibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu wa kwenda kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwezi kumuona bakhresa akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa (bakhresa aah aah)
Ntanzania pekee aliyee juu ya bakhresa ni raisi
Wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
Ooh and guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea akiongea ni kwaajili yetu sisi
Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich

Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed

Uuh uuh uuh...

Tell them boys we got this new money
Now we live low key baby
Jeshiii

終わり

この曲の聞きなれない単語はすべてあなたが追加したのですか?