Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

소리


상호 작용


난이도


악센트



인터페이스 언어

ko

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
쿠키 정책   |   지원하다   |   FAQ
1
등록/로그인
Lyrkit

기부하다

5$

Lyrkit

기부하다

10$

Lyrkit

기부하다

20$

Lyrkit

그리고/또는 나를 사회적으로 지지해 주세요. 네트워크:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Rayvanny

Mwambieni

 

Mwambieni

(앨범: Flowers III - 2023)


Iyo lizer

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Kwanza tuanze rangi yake
Ah! Jamani ipo mwake
Natamani nione kopo lake
Amenunua wapi duka lake
Kisha tuje kwenye umbo lake ah!
Hapo lazima udate
Usije kutokwa mate
Mambo ya uturuki tuyaache

Maana mtoto kanawiri
Jaama
Kumuacha uwe jasiri
Saana
Nime shindwa kuwa bahiri
Mama
We nichune hadi kandambili
Sawa

Babe pose geuka freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa, you are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Leo nawatambulisha
Mliokuwa hamjui
Hapa ndo nimetika mwenzenu
Shemeji yenu huyo
Kwake najibebisha
Usiku asubuhi
Tongonza tongoza ama zangu ama zenu
Shemeji yenu huyo

Ye ndo tiba ya mwili
Mama
Anituliza akili
Jama
Ma Ex mtasubiri
Sanaaa
Kumuacha sitikiriii
Oh oh

Pose Geuka Freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa, you are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

완료

이 노래에 생소한 단어를 모두 추가하셨나요?