Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

Ses


Arayüz


Zorluk seviyesi


Aksan



arayüz dili

tr

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Çerez politikası   |   Destek   |   FAQ
1
Kayıt Giriş
Lyrkit

bağış yapmak

5$

Lyrkit

bağış yapmak

10$

Lyrkit

bağış yapmak

20$

Lyrkit

Ve/veya beni sosyal medyada destekleyin. ağlar:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Rayvanny

Ex Boyfriend

 

Ex Boyfriend

(albüm: Flowers - 2020)


Leo nakula kwa macho, nguvu ya kusema sina
Maneno ya mipasho na jeuri zimeshazima

Nilishafuta namba zako
Nikachoma picha zako
Sikujali ulivyoliaa
Mbele ya mashoga zako
Nikasema uende zako
Nguo nikakutupiaaa
Na zaidi, uliuguza vidonda
Kwa vipigo, manyanyaso kila siku
Kwa mawazo ukakonda
Niko bize kucheat, nafungua zipu

Ulinibembeleza, nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza, miguu ya pwesa
Kuwa nawe nikamesa niliteleza
Leo unapendeza, wamekutengeneza
Wanaume wenye mali, wenye fedha

Sasa unajiweza, siweza kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend

Siitwi tena honey, baby
Jina langu limekuwa
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua
Ohhh

Nawaza nilifeli wapi, kusema sikutaki
Sura ya baba na kitambi cha makasi
Sasa una mtanashati bitozi tena smati
Mtu wa gyme tena ana six park
Me nipo juu ya bati, sina mikakati
Geto mwendo chai na chapati
Nous ushahama mburahati
Una nyumba masaki
Soirée unachoma nyama kila siku

Ushanipiga mikuli aah
Insta mi sifurukuti aah
Mambo ya gauni suti aah
Mkifanya photoshoot aah
Mapenzi hayana komando
Mwenzako inaniuma roho
Natamani nikwite njoo
Turudi kama bifooo

Kumbe shepu ilijificha kwenye dera
Hizo skini jinsi mama zinakera
Utaniletea kadi kwenye machela
Siku akikuvalisha shera

Na ulinibembeleza, nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza, miguu ya pwesa
Kuwa nawe nikamesa niliteleza
Leo unapendeza, wamekutengeneza
Wanaume wenye mali, wenye fedha

Sasa unajiweza, siweza kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex petit ami
Ex petit ami
Ex petit ami

Siitwi tena miel, bébé
Jina langu limekuwa
Ex petit ami
Ex petit ami
Ex petit ami
Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua

Tamamlandı

Bu şarkıdaki tüm yabancı kelimeleri eklediniz mi?