Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

Ses


Arayüz


Zorluk seviyesi


Aksan



arayüz dili

tr

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Çerez politikası   |   Destek   |   FAQ
1
Kayıt Giriş
Lyrkit

bağış yapmak

5$

Lyrkit

bağış yapmak

10$

Lyrkit

bağış yapmak

20$

Lyrkit

Ve/veya beni sosyal medyada destekleyin. ağlar:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Ntashinda

 

Ntashinda


Check it out
Oh na na na na na na na
Eh eh eh
Oh na na na na na na na
Eh eh eh
Oh na na na na na na na
Eh eh eh
Oh, this is the remix
Oh na na na na na na na
Oh oh oh

Salamu zangu za kwanza
Ah, ziende kwa Mola na mama
Za pili Chamng'aza
Oh, mwambie asante sana
Za tatu dada angu
Asma na Halima Kimwana
Oh, mie usijali
Sijachoka napambana
Hii dunia ina mengi
Yenye raha na matatizo
Ogopa mapenzi
Oh, maana waga shinikizo
Hii dunia ina mengi
Yenye raha na matatizo
Ila sio mapenzi
Ndo huwaga chanzo cha vita...

Oh na na na na na na na
(Oh, najua wananpinga)
Oh na na na na na na na
(Ila naamini ntashinda)
Oh na na na na na na na
(Hata wewe unapingwa...)
Oh na na na na na na na
(Ila amini ntashinda)

Ayayayaya (hey)
Ayayayayaya (hey)
Ayayayaya
(Oh, tena raha na matatizo)
Ayayayaya (hey)
Ayayayayaya (hey)
Ili mradi wakuharibie

Mola
Oh, nilinde rafiki zangu
Na
Uwape upendo ndugu zangu
Mola
Oh, nilinde na Tale wangu mimi
Na
Niwapende na maadui zangu
Tai
Nnaonekana mjinga ila kwetu ulefunzwa
Ndio maana kila wasemapo huwaga nakuza
Vimaneno maneno
Haviwezi niuguza
Sio siwezi
Najua ndo chanzo cha vita...

Oh na na na na na na na
(Oh, najua wananpinga)
(Mi najua sana) Oh na na na na na na na (sana)
(Ila naamini ntashinda)
(Oh, naamini) Oh na na na na na na na (naamini)
(Hata wewe unapingwa...)
(Hata wewe) Oh na na na na na na na
(Ila amini ntashinda)

Ayayayaya (hey)
Ayayayayaya (hey)
Ayayayaya
(Oh, tena raha na matatizo)
Ayayayaya (hey)
Ayayayayaya (hey)
Ili mradi wakuharibie

Oh na na na na na na na
(Oh, najua wananpinga)
(Najua sana) Oh na na na na na na na (sana)
(Ila naamini ntashinda)
(Naamini) Oh na na na na na na na
(Hata wewe unapingwa...)
Oh na na na na na na na
(Ila amini ntashinda)

Oh oh oh
Ah, ziende kwa Mola na mama
Ah ah ah
Umwambie asante sana
Oh oh oh
Tonsa Mwamba au Karama
Imma
Umwambie Tumi asante sana

Eti Tuddy anaringa
Q Boy anaringa
Mara Romy anavimba
Kuzusha zusha bwana
Aga, Chege anaringa
Sota anavimba
Mkubwa Fella anaringa
Ili mradi tu lawama
(Wasafi...)

Tamamlandı

Bu şarkıdaki tüm yabancı kelimeleri eklediniz mi?