Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

Звук


Інтерфейс


Рівень складності


Акцент



мова інтерфейсу

uk

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
1
зареєструватись / увійти
Lyrkit

донат

5$

Lyrkit

донат

10$

Lyrkit

донат

20$

Lyrkit

Та/Або підтримай мене в соц. мережах:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Rayvanny

Mzuri

 

Mzuri

(альбом: Unplugged Session - 2022)


Uuh aih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo

Rangi ya chungwa mama chocolate
Viuno tanga manza bei
Black beaut ulosimama
Una nywele shombeshombe
Zanzibar cheichei
Umejaliwa nyama na huo mguu
Haki mungu hakosei
Mpka nikuone ndo nafanya
Usiwe na wasi mama wala mi sikuchezei

Najionea wivuu kukupata wewe my boo
Tabibuu dozi nipe tatatibuu

Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Unavyoringa sasa sio shida zako hizo
Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Nakusifia ringa vimba kichwa kapulizo

Ukicheza (mzuri mzuri)
Ukinuna (mzuri mzuri)
Ukiringa (mzuri mzuri)
Ata ukilia mzuri (ni mzuri tu)

Unasura ya kunywea winne
(Sura ya kunywea chai)
Uko soft una shine
(Camera haikukatai)
Unawakomesha shwaini
Levo zako hawakai
Wataiweza wapi rangi yako ya mtume
(Kwa roshen za mapapai)

Mmh we mtoto we we mtoto we
Wasije kuroga wenzako
Wapunguzir dozi utawaua
Sio kwa uzuri huo huo huo
We mtoto we we mtoto we
Unawatesa wenzako
Sio kwa hayo mapozi na kujishauwa
Unadamu ya nguo huo huo huo

Mama unaogopa nini mbona unaficha sura
Mama unaogopa nini mbona unageuka nyuma
Mama mbona mikono usoni ebu toa tukuone

Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Unavyoringa sasa sio shida zako hizo
Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Nakusifia ringa vimba kichwa kapulizo

Ukicheza (mzuri mzuri)
Ukinuna (mzuri mzuri)
Ukiringa (mzuri mzuri)
Ata ukilia mzuri (ni mzuri tu)

Ule kimini juu nato toto
Unafanya nishindwe kuto totoka
Umetakata upo so sosoft
Unawateza si kito toto
Uchuchu aaaah iya iya iya
Mara upo nyonyo upo titi
Ata saraphina anajua hushikiki
Aiyy serious nimempenda
Nasema na simuachii

готово

Ти додав собі всі незнайомі слова із цієї пісні?